Jomo Kenyatta /ˈdʒoʊmoʊ kɛnˈjɑːtə/ (c. 1889 – 22 August 1978) was the leader of Kenya
from independence in 1963 to his death in 1978, serving first as Prime
Minister (1963–64) and then as President (1964–78). He is considered the
founding father of the Kenyan nation.[1]
Kenyatta was a well-educated intellectual who authored several books, and is remembered as a Pan-Africanist. He is also the father of Kenya's fourth and current President, Uhuru Kenyatta.
Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport,
Kenyatta International Conference Centre, Nairobi's main street and
main streets in many Kenyan cities and towns, numerous schools, two
universities (Kenyatta University and Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology),
the country's main referral hospital, markets and housing estates are
named after him. A statue in Nairobi city centre and monuments all over
Kenya stand in his honour. Kenya observed a public holiday every 20
October in his honour until the 2010 constitution abolished Kenyatta Day
and replaced it with Mashujaa (Heroes') day. Kenyatta's face adorns Kenyan currency
notes and coins of all denominations (save the 40 shilling coin), but
this is expected to change as Kenya's 2010 constitution bars the use of
the portrait of any person on Kenya's currency.
MBARALI YETU.
Friday, 6 February 2015
Tuesday, 30 September 2014
Kenyatta ashurutishwa kwenda Hague.
kwa mujibu wa shirika la habari BBC;
Majaji wa mahakama ya jinai ya ICC wameamua kuwa rais wa Kenya hana budi ila kufika mahakamani binafasi Oktoba tarehe 8.
Majaji
hao wamekatalia mbali ombi la mawakali wa rais Uhuru Kenyatta la kutaka
aruhusiwe kuhudhuria kikao hicho kupitia kwa njia ya Video ama kikao
hicho cha ana kwa ana kiahirishwe hadi siku nyingine kwani alikuwa
amekabwa na kazi na majukumu kama rais wa Kenya.Majaji hao wanasema kuwa Rais Uhuru Kenyatta hakutoa sababu madhubuti ya kukosa kuhudhuria kikao hicho maalum.
Majaji hao aidha wanasema kuwa Bwana Kenyatta lazima awe hapo ilikujibu maswali muhumi kuhusu ushirikiano wa serikali yake na kujadili maswala muhimu yatakayojadiliwa katika kikao hicho.
Kenyatta alikuwa ameiamboa mahakama kuwa ameratibiwa kuhudhuria sherehe za kuadhimisha uhuru wa Uganda .
Kauli hiyo inawadia wakati ambapo mwendesha mashataka wa mahakama hiyo Fatou Bensouda alikuwa amepinga ombi la rais Kenyatta la kuahirisha kikao hicho ama kuruhusiwa kushiriki kikao hicho kwa njia ya video.
Bi Bensouda alikuwa ameilalamikia mahakama hiyo akidai kukosa ushahidi wa kutosha baada ya serikali ya Bw Kenyatta kumnyima stakabadhi alizotaka ilikuimarisha kesi dhidi ya kiongozi huyo wa Kenya.
Bw Kenyatta kwa upande wake naye alikuwa amewasilisha ombi mahakamani ya kutaka kesi dhidi yake itupiliwe mbali baada ya bi Bensouda kukiri kuwa hakuwa na ushahidi wa kutosha dhidi yake.
Subscribe to:
Posts (Atom)